Food Matters
Travel Guides
Healthy Life
MTOTO MWENYE ULEMAVU WA VIUNGO ABAKWA WANANCHI WATAKA...
Na Tatu Jaku.
Wananchi wa Shehia ya Bungi, Wilaya ya Kati Unguja, wameiomba serikali kuingilia kati kesi ya mtoto mwenye ulemavu wa viungo aliyebakwa na...
Huduma za Kisukari Kuimarishwa Zanzibar
Na Kaid Khamis, novema 14, 2025.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kufanya kila jitihada kuhakikisha ustawi wa wa wanaoishi na changamoto za kisukari...
Sport News
WAGOMBEA WALIA KUKOSA RUZUKU ZA KUFANYIA KAMPENI
Na Fatma Hamad, Pemba.
Kukosekana kwa ruzuku ya pesa kwa ajili ya kufanyia kampeni za uchaguzi mkuu 2025, imekua ni kikwazo kikubwa kinachorudisha nyuma ndoto...
WAJASIRIAMALI WANAWAKE WATAKIWA KULEA WATOTO KWA MALEZI BORA
Na Fatma Rajab.
Wajasiriamali wadogo wadogo wametakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano na wakati huo huo kuhakikisha wanawalea watoto wao katika malezi bora yenye maadili mema.
Wito...
JE NI IPI SABABU YA KUONGEZEKA VITENDO VYA UDHALILISHAJI ZANZIBAR? WADAU WATOA TAHADHARI
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Katiba na Sheria, Afisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mzee Ali Haji, ameshauri kufanyika kwa uchambuzi wa...
RAIS MWINYI: ZANZIBAR KUWA KITOVU CHA UTALII WA MICHEZO
Na Said Khamis.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika ujenzi na uboreshaji...










































